Pages

Wednesday, 13 June 2012

MATUMAINI YA MASHABIKI WA UHOLANZI KABLA YA MECHI NA GERMANY


Mechi imemalizika kwa Uholanzi kupokea kipigo cha 2-1 toka kwa Wajerumani a.k.a roho ya paka, magoli ya Germany yakifungwa na Super Mario Gomezi huku lile la kufutia machozi toka kwa Uholanzi likifungwa na Van Persie

No comments:

Post a Comment