Pages

Tuesday, 1 May 2012

MANCHESTER DERBY KATIKA PICHA CITY AKIITANDIKA UNITED 1-0

Mashabiki wa City na United wakipiga picha za pamoja kabla ya mechi

Sir Alex Ferguson akiteta jambo na Roberto Manchini kabla ya mpira kuanza

Ilikuwa ni Man United walionza kwa kuishambulia ngome ya Man City

Rooney akijaribu kumtoka Zaballeta

Diego Maradona alikuwepo akitazama mtanange huu

City wakaanza kumiliki mpira mapema kipindi cha kwanza

Clichy akifanya kazi ya ziada kumzuia Nani asilete madhara 

Dakika ya 47+ kipindi cha kwanza kona ya David Silva ikazaa matunda

Vicent Company akishangilia mara baada ya kufunga goli 

Manchini akitoa maelekezo ya kufanya mara baada ya kupata goli

kocha wa Man United akirushiana maneno na kocha wa Man City

Company alifurahi na Zaballeta mara baada ya kipenga cha mwisho kupulizwa

United wakiwa hawaamini kilichotokea mara baada ya mpira kumalizika













No comments:

Post a Comment