Pages

Friday, 23 May 2014

TANZANIA COLLEGE FESTIVAL 2014: YALIYOJILI KATIKA TAMASHA HILI LILILOFANYIKA CHUO KIKUU MZUMBE MBEYA CAMPUS COLLEGE 17/05/2014

Asubuhi ya siku ya Tukio watu wakiwa katika harakati za maandalizi ya mwisho ya Tanzania College Festival


Moja ya waandaaji wa Tanzania College Festival 2014 Ndugu Brown akiwa katika majukumu ya kukamilisha maandalizi

Joan Kiggundu naye hakuwa nyuma

Diana Shumbusho moja ya Event organizer akikaguwa jambo kabla ya shughuli nzima haijaanza

Maonyesho ya wanafunzi toka Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya [MUST]
MUST walitia sana fora upande wa maonyesho

Maonyesho toka Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya

Mwakilishi toka NSSF akiteta jambo na wageni waalikwa kwenye maonyesho nje ya ukumbi wa tukio

Mwakilishi wa mgeni rasmi [RPC - MBEYA] Ndugu Samora akisikiliza kwa makini jambo toka kwa mwakilishi wa NSSF

Watu hawakuwa nyuma kuangalia maonyesho ya vyuo mbalimbali yaliyofanyika nje ya ukumbi wa NLT - Mzumbe

Moja ya waandaaji wa Tanzania College Festival Ndugu Baraka Dishoni akiteta jambo ndani ya ukumbi

Mwakilishi toka kampuni ya mtandao mpya wa mawasiliano SMART akitoa neno la utangulizi kabla shughuli haijaanza

Meza kuu ilipendeza vya kutosha





Wawakilishi toka Youth United Nations Association - YUNA nao walikuwepo kutoa support yao

Mwakilishi toka MUST katika kipengele cha QUIZ akijibu swali. MUST walichuana na MZUMBE UNIVERSITY na Mzumbe kuibuka kidedea

Mwakilishi toka Mzumbe katika kipengele cha QUIZ...Ndugu TESHA akijibu swali





Mhadhiri wa Chuo Kikukuu Mzumbe Ndugu John Stephen (Advocate) akiuliza swali kwa washiliki wa QUIZ Session



Baadhi ya waandaaji wa tamasha la Tanzania College Festival 2014 katika picha ya pamoja












No comments:

Post a Comment