Pages

Saturday, 26 May 2012

UHOLANZI YATANGAZA KIKOSI KITAKACHOSHILIKI MICHUANO YA UEFA UERO 2012

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Uhalanzi maarufa kama 'the olanje'  ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kitakachoshiriki michuano ya EURO inayotarajiwa kuaanza mapema mwezi ujao nchini Poland na Ukraine.


Akitangaza kikosi hicho, Bert van Marwijk amewaacha kwenye kikosi chake wachezaji toka klabu ya Ajax Vurnon Anita na Siem de Jong. Pia Adam Maher na Jeremain Lens hawamo kundini.


Hata hivyo kocha huyo amewajumuisha kwa mara ya kwanza kwenye kikosi chake Lociano Narsingh na Jetro Willems, wachezaji ambao hawajawahi kucheza kwenye kikosi cha the oranje katika maisha yao ya soka.


Uholanzi kwenye michuano hii ya EURO imepangwa Group B sambamba na timu za Ujerumani, Ureno, na Denmark.


MAJINAKLABU
Makipa: 
Tim KrulNewcastle
Maarten StekelenburgRoma
Michel VormSwansea
Mabeki: 
Khalid BoulahrouzStuttgart
Wilfred BoumaPSV
John HeitingaEverton
Joris MathijsenMalaga
Gregory van der WielAjax
Ron VlaarFeyenoord
Jetro WillemsPSV
Viungo/midfilders: 
Ibrahim AfellayBarcelona
Mark van BommelAC Milan
Nigel de JongMan City
Stijn SchaarsSporting
Wesley SneijderInter
Kevin StrootmanPSV
Rafael van der VaartTottenham
Washambuliaji: 
Klaas Jan HuntelaarSchalke
Luuk de JongTwente
Dirk KuytLiverpool
Luciano NarsinghHeerenveen
Robin van PersieArsenal
Arjen RobbenBayern

No comments:

Post a Comment